Monday, May 28, 2012

Mlevi alawitiwa mpaka kufa baa








kijana mmoja kwa jina analofamika kama Adam Mustapha mkazi wa Mbagala ambaye picha zake hapo alfajiri ya leo umekutwa amekufa katika baa moja kwa jina maarufu Dar live ndogo or Double K.
Kijana ambaye amekutwa akiwa na mizinga miwili ya kunyagi na pia mbegu za kuime ambazo mashaidi waliokuwepo katika eneo hilo wa nyumba za jirani walimsikia kijana huyo akipiga kelele wameiambia blog hii kwamba walimkuta akiwa amelawitiwa na kustili kwa kumfunika na kitenge hicho mpaka naondoka eneo la tukio polisi ndo walikuwa wamefika mida ya saa 2 asubuhi kuchukua mwili wa marehemu ,
Habari za kufahamika marehemu alikuwa mfanyakazi wa A.M STEEL ambacho ni kiwanda cha nondo