Monday, August 29, 2011
Sunday, August 28, 2011
Tuesday, August 23, 2011
Thursday, August 18, 2011
Sunday, August 14, 2011
Lord Herry2 Slideshow
Lord Herry2 Slideshow: "TripAdvisor™ TripWow ★ Lord Herry2 Slideshow ★ to Dar es Salaam. Stunning free travel slideshows on TripAdvisor"
Wednesday, August 10, 2011
PETRO POBLEM IN DAR
Kazi ya utoaji wa uduma ya mafuta ilikuwa ngumu mpaka askari wa kutuliza fujo (FFU) malipo kuja na kusimamia zoezi zima la utowaji mafuta hayo ya petrol ambapo kwa kipindi hiki cha siku tatu ilikuwa adimu kwa baadhi ya wenye vyombo vya moto
Madereva wa vyombo mbali mbali wakiwa katika foleni ya mafuta katika kituo cha petro mbagala rangi tatu ni kituo pekee ambocho kilikuwa kinauza tangu mgomo wa wamiliki wa vituo vya mafuta uanze kwa kutaaa bei mpya ya mafuta iliyopangwa na ewura ambalo ni shirika la udhibiti wa bei ya nishati nchi ambalolilitoa bei mpya ya mafuta ya petrol,diseal na mafuta ya taa tarehe 3 august 2011
Foleni haikuwa ndogo hasa kwa wenye vidumu na ambao walikuwepo hapo kupata huduma hiyo kwa matumizi ya vyombo vyao vya moto ikiwemo wenye magenerator
Wenye pikipiki hawakuwa nyuma nao maana ilikuwa foleni ya ajabu utasema miaka ile ya 70's ambapo wzazi wetu walikuwa wanasubili magari ya ushirika kwa ajiri ya sukari na huduma nyingine muhimu
Tuesday, August 2, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)