Man united wakiwa ziarani katika nchi ya marekani ikiwa na kikosi kamili kabisa hapo juu ni Rio ferdnand na De gea wakibadilishana mawazo
De gea akiwa mazoezini katika mji wa washington huko marekani.
Fabio akiwa anambana Anderson hapo katika mazoezi ya kwa ajiri ya kujiandaa na mechi na seattlr sounders ya marekani pembeni ni Michael owen na Macheda
Michael Carrick akiwa amepozi katika ndege
Viraka vipya vya man united hao ni Jonas na young wakiwa mzoezini
No comments:
Post a Comment