Jumla ya kata katika jimbo la Igunga lenye wakazi 325,000 na wapiga kura 171,265 lina kata 26. Uchaguzi huo, unafanyika kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Rostam Aziz, aliyejiuzulu Julai 13 mwaka huu.Rostam alikuwa mbunge wa jimbo hilo kwa miaka 15 mfululizo kuanzia mwaka 1994.
Wagombea wanaowania nafasi hiyo ni Dk.Peter Kafumu wa CCM, Leonard Mahoma wa CUF na Kashindye wa Chadema. Wagombea wengine wanaoshiriki uchaguzi huo na vyama vyao kwenye mabano ni Said Cheni (DP), Hemed Dedu (UPDP), Hassan Rutegama (Chausta), John Maguma (Sau) na Steven Making.
Wagombea wote mbali na kujinadi kwa sera za kuwaletea maendeleo wananchi na jimbo hilo tangu kampeni hizo zilipoanza Septemba 7, mwaka huu
Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga kata kwa kata(Jumla kuu ni CCM 26266. CHADEMA 22443)
Mboto CCM 730- CHADEMA 302
Nguvu moja CCM 694 CHADEMA 284
Nkinga CCM1479. CHADEMA 1085
Itumba CCM1079 CHADEMA 590
Nanga. CCM 897. CHADEMA 645
Igurubi CCM 925 CHADEMA 592
Mwisi CCM 926. CHADEMA 992
Mbutu. CCM 1186. CHADEMA 1426
Kinungu. CCM 505 CHADEMA 268
Ngulu CCM 622 CHADEMA 412
Igunga CCM 3181 CHADEMA 3358
Choma CCM 1227 CHADEMA 918
Kining. CCM 700 CHADEMA 451
Mwashiku. CCM 798 CHADEMA 484
Nsimbo CCM 738 CHADEMA 1016
Itunduru CCM 738 CHADEMA 784
Mwamashimba CCM 1224 CHADEMA 1421
Mbutu CCM 1335 CHADEMA 1427
Bukoko CCM 1136 Chadema 931
Nyandekwa CCM 691 Chadema 631
Ndembezi CCM 866 Chadema 806
Chabutwa CCM 545 Chadema 581
Ziba CCM 1053 Chadema 860I
goweko CCM 1051 Chadema 880
Sungwizi CCM 1225 Chadema 718
Isakamaliwa CCM 525 Chadema 593
Matokeo haya yemesomwa hadharani na msimamizi wa uchaguzi jimboni humo muda huu wa mchana. Awali Jimbo hilo lilikuwa chini ya Mbunge Rostam Azizi aliyeamua kujiuzuru.
No comments:
Post a Comment