|
RAIS
Jakaya Kikwete amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Joseph Warioba kuwa
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania. Pia amemteua na
Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani kuwa makamu wake.
Akitangaza Tume hiyo Ikulu, Dar es Salaam jana, Rais Kikwete alisema Tume hiyo itasaidiwa na Sekretarieti itakayoogozwa na Katibu Mtendaji, Asaa Ahmad Rashid na Naibu wake ni Casmir Sumba Kyuki. Hii ni mara ya pili kwa Warioba, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali ambaye pia aliwahi kuwa Jaji katika Mahakama ya Kimataifa ya Mazingira kupewa jukumu la kusimamia tume zinazovuta hisia za mamilioni ya Watanzania kwani ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kuondoa Kero ya Rushwa nchini iliyoundwa na Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa. Jaji Ramadhani kwa upande wake, mbali ya kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania kwa miaka sita, wadhifa aliokuwa nao hadi alipostaafu Desemba 27, 2010 na nafasi yake yake kuchukuliwa na Jaji Mkuu wa sasa, Mohamed Chande Othman alikuwa, Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na baadaye Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kwa wadhifa huo huo. Pia alikuwa Brigedia Jenerali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), hadi alipostaafu mwaka 1997. Kwa upande wa Asaa kabla ya uteuzi huo alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Sheria Zanzibar wakati Kyuki alikuwa Mwandishi Mkuu wa Sheria katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Tanzania Bara. Rais Kikwete aliwaambia wahariri na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari kwamba uteuzi wa Tume hiyo ni hatua ya kwanza muhimu katika mchakato wa kuiwezesha nchi kupata Katiba Mpya ifikapo mwaka 2014. “Sheria yetu inaelekeza Tume hii iwe imekamilisha kazi yake ndani ya miezi 18, sasa kama wakianza kazi tuseme Mei watakuwa na miezi minane mwaka huu na kwa maana hiyo mwakani inabidi wamalize kazi hiyo Oktoba, miezi 18 itakuwa imekamilika,”alisema Rais Kikwete na kuongeza: “Sasa kama ni hivyo mimi sioni kwa nini ifikapo mwaka 2014 tusiwe na Katiba Mpya… hili linawezekana kabisa.” Wajumbe wengine
Tume
hiyo ina uwakilishi wa makundi mbalimbali katika jamii. Yumo
mwanadiplomasia wa siku nyingi Waziri Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu wa
uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Dk Salim Ahmed Salim,
Mshauri wa wa Chadema, Profesa Mwesiga Baregu na Mkuu wa Idara ya
Sheria, Katiba na Haki za Binadamu wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Dk
Sengondo Mvungi.
Tume hiyo ambayo inaundwa na wajumbe 30 nusu kutoka kila upande wa Muungano, pia inawajumuisha aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Said El Maamry, Mbunge wa Viti Maalumu, Al-Shaymaa Kwegyir, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), Joseph Butiku na Mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Palamagamba Kabudi. Rais Kikwete aliwataja wajumbe wengine wa Tume hiyo kutoka Tanzania Bara kuwa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Yahya Msulwa, Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Esther Mkwizu, Riziki Mngwali, Richard Lyimo, John Nkolo, Jesca Mkuchu, Humphrey Polepole, Maria Kashonda na Mwantumu Malale. Wajumbe kutoka Zanzibar ni wamo Mwandishi wa habari mkongwe, Ally Salehe, Fatma Said Ali, Omar Sheha Mussa, Raya Salim Hamadi, Awadh Ali Said, Ussi Khamis Haji, Salma Maoulidi, Nassor Khamis Mohammed, Simai Mohammed Mshamba, Kibibi Mwinyi Hassan, Suleiman Omar Ali, Salama Kombo Ahmed na Abubakar Mohammed Ali. Rais Kikwete alisema mchakato wa uteuzi wa wajumbe hao ulizingatia matakwa ya kisheria yanayomwelekeza kushauriana na Rais wa Zanzibar. Alisema kabla ya kuteua majina hayo, walipokea mapendekezo ya majina zaidi ya 550 kutoka kwa wadau mbalimbali akisema ilikuwa kazi ngumu kuyachuja na kubaki na majina hayo kama sheria inavyoelekeza. “Tumejitahidi kadri ya uwezo wetu maana kama si haya mapendekezo pengine tungeishia kuteua wale tunaowafahamu tu, lakini tumejitahidi kugusa kila kundi. Tunafahamu kwamba hatuwezi kumridhisha kila mtu, lakini wale ambao hawakupata nafasi katika Tume basi watatumia fursa nyingine ambazo zipo kupitia mchakato huu,” alisema Rais Kikwete. Muda wa Tume Rais Kikwete alisema wajumbe wa Tume hiyo wataapishwa wakati wowote kuanzia sasa ili kuwawezesha kuanza safari yao ya miezi 18 ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya na kukamilisha kuandikwa kwa Katiba hiyo.
Rais
alisema Tume hiyo baada ya kukamilisha kazi yake ya kukusanya maoni ya
Watanzania na kutengeneza rasimu ya Katiba, zitakuwa zimebaki hatua
mbili muhimu ambazo ni kuundwa kwa Bunge maalumu na kura ya maoni.
“Baada ya hatua hiyo kukamilika, rasimu itawasilishwa katika Bunge maalumu ambalo litaundwa kwa ajili ya kujadili na kuchambua mambo yanayofaa yaliyomo katika rasimu hiyo, Bunge hili litakuwa kwa ajili hiyo tu na likishakamilisha kazi yake basi muda wake utakuwa umeisha” alisema Rais Kikwete. Alisema baada ya mambo ya msingi kupitishwa na Bunge hilo, mchakato huo utarejeshwa kwa wananchi ambao watapiga kura za maoni kama wataona yaliyopitishwa yanafaa au la. Rais ametangaza kuundwa kwa Tume hiyo siku chache tangu yafanyike mabadiliko katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, katika Mkutano wa Sita wa Bunge la 10, marekebisho ambayo yalizua manung’uniko kutoka kwa wabunge wa CCM. Katika hotuba yake ya Desemba 31, 2010, Rais Kikwete aliahidi kuanzisha mchakato wa kuandikwa kwa Katiba mpya ambayo alisema italivusha Taifa katika miaka mingine 50 ikiimarisha udugu na mshikamano wa Watanzania. Wateule wanena Wakizungumza kwa nyakati tofauti, baadhi yawajumbe walioteuliwa katika Tume hiyo walisema kuwa ni mapema mno kuzungumzia uteuzi wao. Dk Mvungi alisema kazi hiyo ni kubwa kwa kuwa wanaotumikiwa ni wananchi, huku akiomba kupewa muda hadi leo ili aweze kutafakari cha kuzungumza. “Muda mfupi uliopita ndiyo nilipata taarifa ya uteuzi huo ila nahitaji kujishauri kwanza pia kusikiliza ushauri wa familia yangu, naomba unipe muda hadi kesho (leo), naweza kuwa na cha kuzungumza zaidi,” alisema Dk Mvungi. Kwa upande wake Butiku alisema mpaka alipokuwa akipigiwa simu kuulizwa alivyopokea uteuzi wake alikuwa hajapata taarifa za uteuzi huo. Alisema atazungumza mara baada ya kuthibitisha rasmi kuwa ameteuliwa. “Hivi tunavyozungumza ndiyo nafika Musoma nikitokea Mwanza, sijapata taarifa yoyote, ngoja kwanza nisubiri taarifa rasmi ili niweze kuzungumza vizuri.” |
Saturday, April 7, 2012
Rais Kikwete atangaza wajumbe wa tume ya katiba
Friday, April 6, 2012
Beyoncé Shares Stunning Bikini Pic!
Beyoncé and husband Jay-Z recently celebrated their four-year wedding anniversary yesterday (for a total of ten years together). To celebrate, she launched an immaculately curated Tumblr page of never-before-seen photos of herself and her family, along with joining Twitter for the first time to announce her new website. She's already racked up over 3.6 million Twitter followers in less than a day and just a single tweet!
Having given birth to her first child Blue Ivy in January, Beyoncé will return to performing live in late May.
Sunday, April 1, 2012
Roma makatoliki vs Izzo B Dar Live
Thursday, March 22, 2012
Meet The Hackers Who Sell Spies The Tools To Crack Your PC
At a Google-run competition in Vancouver last month, the search giant’s famously secure Chrome Web browser fell to hackers twice. Both of the new methods used a rigged website to bypass Chrome’s security protections and completely hijack a target computer. But while those two hacks defeated the company’s defenses, it was only a third one that actually managed to get under Google’s skin.
A team of hackers from French security firm Vupen were playing by different rules. They declined to enter Google’s contest and instead dismantled Chrome’s security to win an HP-sponsored hackathon at the same conference. And while Google paid a $60,000 award to each of the two hackers who won its event on the condition that they tell Google every detail of their attacks and help the company fix the vulnerabilities they had used, Vupen’s chief executive and lead hacker, Chaouki Bekrar, says his company never had any intention of telling Google its secret techniques—certainly not for $60,000 in chump change.
“We wouldn’t share this with Google for even $1 million,” says Bekrar. “We don’t want to give them any knowledge that can help them in fixing this exploit or other similar exploits. We want to keep this for our customers.”
Those customers, after all, don’t aim to fix Google’s security bugs or those of any other commercial software vendor. They’re government agencies who purchase such “zero-day” exploits, or hacking techniques that use undisclosed flaws in software, with the explicit intention of invading or disrupting the computers and phones of crime suspects and intelligence targets.
In that shady but legal market for security vulnerabilities, a zero-day exploit that might earn a hacker $2,000 or $3,000 from a software firm could earn 10 or even 100 times that sum from the spies and cops who aim to use it in secret. Bekrar won’t detail Vupen’s exact pricing, but analysts at Frost & Sullivan, which named Vupen the 2011 Entrepreneurial Company of the Year in vulnerability research, say that Vupen’s clients pay around $100,000 annually for a subscription plan, which gives them the privilege of shopping for Vupen’s techniques. Those intrusion methods include attacks on software such as Microsoft Word, Adobe Reader, Google’s Android, Apple’s iOS operating systems and many more—Vupen bragged at HP’s hacking competition that it had exploits ready for every major browser. And sources familiar with the company’s business say that a single technique from its catalog often costs far more than its six-figure subscription fee.
Even at those prices, Vupen doesn’t sell its exploits exclusively. Instead, it hawks each trick to multiple government agencies, a business model that often plays its customers against one another as they try to keep up in an espionage arms race.
Bekrar claims that it carefully screens its clients, selling only to NATO governments and “NATO partners.” He says Vupen has further “internal processes” to filter out nondemocratic nations and requires buyers to sign contracts that they won’t reveal or resell their exploits. But even so, he admits that the company’s digital attack methods could still fall into the wrong hands. “We do the best we can to ensure it won’t go outside that agency,” Bekrar says. “But if you sell weapons to someone, there’s no way to ensure that they won’t sell to another agency.”
That arms-trade comparison is one Vupen’s critics are eager to echo. Chris Soghoian, a privacy activist and fellow at the Open Society Foundations, calls Vupen a “modern-day merchant of death,” selling “the bullets for cyberwar.” After one of its exploits is sold, Soghoian says, “it disappears down a black hole, and they have no idea how it’s being used, with or without a warrant, or whether it’s violating human rights.” The problem was starkly illustrated last year when surveillance gear from Blue Coat Systems of Sunnyvale, Calif. was sold to a United Arab Emirates firm but eventually ended up tracking political dissidents in Syria. “Vupen doesn’t know how their exploits are used, and they probably don’t want to know. As long as the check clears.”
Vupen is hardly alone in the exploit-selling game, but other firms that buy and sell hacking techniques, including Netragard, Endgame and larger contractors like Northrop Grumman and Raytheon, are far more tight-lipped than Bekrar’s small firm in Montpellier, France. Bekrar describes his company as “transparent.” Soghoian calls it “shameless.”
“Vupen is the Snooki of this industry,” says Soghoian. “They seek out publicity, and they don’t even realize that they lack all class. They’re the Jersey Shore of the exploit trade.”
age 2 of 2
High-end exploit broker "the Grugq" at a Bangkok bar. The bag of cash at his feet is for one of his exploit developers.
Even so, Bekrar won’t share revenue numbers, though he insists the firm is profitable. One person who will share those sales numbers is a South African hacker who goes by the name “the Grugq” and lives in Bangkok. For just over a year the Grugq has been supplementing his salary as a security researcher by acting as a broker for high-end exploits, connecting his hacker friends with buyers among his government contacts. He says he takes a 15% commission on sales and is on track to earn more than $1 million from the deals this year. “I refuse to deal with anything below mid-five-figures these days,” he says. In December of last year alone he earned $250,000 from his government buyers. “The end-of-year budget burnout was awesome.”
But the Grugq assesses Bekrar’s startup, which generates all its own exploits, as significantly more lucrative. “He’s pretty f—ing smart,” says the Grugq. “He holds all the cards. He can tell his clients to buy at the price he’s offering, or someone else will.”
Despite his talk about “transparency,” Bekrar won’t say much about his personal history or career prior to founding Vupen—not even his age. But Vupen is his third try at a startup focused on digging up software-security bugs. His previous companies, K-Otik and FrSIRT, made their bug findings public. Even after founding Vupen (whose name stands for “vulnerability research” and “penetration testing”) in 2008, Bekrar and his researchers initially worked with some software vendors to patch their flaws. But after taking $1.5 million in venture capital from 360 Capital Partners and Gant & Partners, Bekrar found that the firm could earn far more by keeping its findings under wraps and selling them at a premium.
Lately Bekrar goes so far as publicly taunting the companies whose products he hacks. In May 2011 Vupen released a video showing that it could penetrate a machine running Chrome but offered no further information to Google. When Google responded that Vupen’s exploit targeted the Flash plug-in that runs in the browser rather than Chrome itself, Bekrar accused the company on Twitter of downplaying its vulnerabilities and called it “pathetic.” Google security staffers responded by scolding Bekrar for disregarding users’ privacy and called him an “ethically challenged opportunist.”
Bekrar shrugs off the insults. “We don’t work as hard as we do to help multibillion-dollar software companies make their code secure,” he says. “If we wanted to volunteer, we’d help the homeless.”
Source:This story appears in the April 9th issue of Forbes magazine.
Monday, March 19, 2012
Messi world's highest paid footballers


Barcelona star Lionel Messi has topped the list of the world's highest paid footballers ahead of David Beckham and Cristiano Ronaldo.
According to France Football, which is set to release figures for the best paid players in the world on Tuesday, Barcelona forward Messi raked in 33 million euros last year from wages and sponsorship deals.
Messi has more than lived up to his price-tag this season, scoring 51 goals in 44 appearances in all competitions for Barcelona.
LA Galaxy midfielder and former England captain Beckham, for so long the game's top earner, came in second with 31.5m euros, while Real Madrid star Ronaldo collected 29.2m in 2011.
Cameroonian Samuel Eto'o, who made a lucrative move from Inter to Russian outfit Anzhi Makhachkala last season, is fourth on the list, with Manchester United striker Wayne Rooney fifth.
Wealthy Premier League outfit Manchester City have two players in the top 10, with Argentine forward Sergio Aguero and Ivory Coast midfielder Yaya Toure sixth and seventh, respectively.
The only other club represented twice are Madrid, with Ronaldo's team-mate Kaka ranking ninth.
Chelsea forward Fernando Torres made the top 10 despite failing to impress since his move from Liverpool, netting 16.7m euros during his disastrous first 12 months at Stamford Bridge.
Bayern Munich skipper Philipp Lahm rounds out the top 10, which does not include a player from Italy's top league, the Serie A.
Football rich list (earnings in euros): 1: Lionel Messi, Barcelona (33m), 2: David Beckham, LA Galaxy (31.5m), 3: Cristiano Ronaldo, Real Madrid (29.2m), 4: Samuel Eto'o, Anzhi, (23.3m), 5: Wayne Rooney, Man United (20.6m), 6: Sergio Aguero, Man City (18.8m), 7: Yaya Toure, Man City (17.6m), 8: Fernando Torres, Chelsea (16.7m), Kaka, Real Madrid (15.5m), Philipp Lahm, Bayern Munich (14.3m).
George clooney Arrested in protest about sudan
George Clooney was arrested Friday for participating in a staged protest outside the Sudanese embassy in Washington, D.C., organized to bring attention to that country's president, Omar al-Bashir, provoking a crisis with his blockade of humanitarian aide.
Regarding the situation, Clooney, 50, had said earlier in interviews that if steps were not taken in the next three to four months, "We're going to have a real humanitarian disaster." He also said he is impressed with President Barack Obama's personal engagement on the situation in Sudan. On Wednesday, the actor testified before Congress about the "campaign of murder" in Sudan.
As he was being taken away Friday morning, after authorities warned him three times to leave, Clooney said, "This is for the government in Khartoum to stop randomly killing its own innocent men, women and children. Stop raping them and stop starving them. That's all we ask," reports USA Today.
Handcuffed and arrested along with him were his father, journalist Nick Clooney; U.S. Rep. Jim Moran (Dem.) of Virginia; NAACP President Ben Jealous, among others, reports the Associated Press. They were then placed in a Secret Service van.
Max Milien, spokesman for the Secret Service, told PEOPLE the actor was being cooperative. "He's being charged currently with disorderly crossing of a police line, which is a misdemeanor and he will be transported to the second district of the Metropolitan Police Department for processing," Milien said.
A rep for the actor released a statement after the arrest, stating, "They were protesting the violence committed by the government of Sudan on its own innocent men, women and children. They were demanding they allow humanitarian aid into the country before it becomes the largest humanitarian crisis in the world."
The arrest was not unexpected, Earlier in the day, The Washington Post reported, "By standing on the embassy's private property, they're likely to get cuffed, arrested and charged."
Clooney was eventually released Friday afternoon.
George Clooney being arrested
Jessica Simpson baby shower party
Jessica Simpson is expecting a baby girl – and her family and friends have already started helping her celebrate!
On Sunday afternoon, her nearest and dearest gathered in Los Angeles for a baby shower organized by celebrity event planner Mindy Weiss.
Simpson wore her hair down with soft braids around her face and sported a light blue dress that showed off her pregnant belly. She was joined by Jessica Alba and sister Ashlee. And when Ashlee arrived with son Bronx, Jessica greeted them outside the party.
"Jessica looked pretty and very happy," says an eyewitness.
Adds a friend: "She's so excited to be a mom. She can't wait to meet her little girl."
Rick Ross will sign new deal wiz Reebok classics
Rick Ross revealed Wednesday (March 14) that he's recently inked an endorsement deal with shoe maker Reebok Classics.
Following the brand's partnership with producer Swizz Beatz last year, they strengthen their ties within the hip-hop game with Miami rap superstar.
Ross confirmed news of the deal via Twitter (@RickyRozay), only after Swizz let the cat out of the bag, welcoming the rapper to the brand with a photo of the pair together at Reebok offices. "The ink is DRY now it's time to fly! Rozay welcome to Reebok," the producer wrote (@TheRealSwizzz), who also holds a Creative Director position at Reebok Classics.
Wednesday, March 14, 2012
The Ngoma Africa Band with Extraordinary Rhythm from East Africa takes Over Europe by strom !
The best Ngoma Africa band takes over Europe by strom ! with extra ordinary rhythm sends fancy crazy at Festivals
The Ngoma Africa Band, a Tanzanian band based in Germany,led a nd founded in the year 1993 by Tanzanian born brandfire musician and afro-pop star Ebrahim Makunja aka Ras Ebby Makunja.
The Ngoma Africa band have named several time is the best and most wanted band in international festival,beacuse of their extraordinary rhythm "Bongo Dance" from Tanzania ,East Africa... the rhythm is always sends fans crazy in festivals....make the ngoma africa band to be number one African best band based in Europe!
most of their song are written in various east african language but many are in"Kiswahili" spoken language in Tanzania and neighbouring East African countries.
Ngoma Africa band have nummbers of talented musician among them is mult-talented musician soloist Christian Bakotessa aka Chris-B,other are Said "Jazbo" Vuai,Severn okomo,Maxime Vayituma,Willy Mbiya ,Bedi Beraca,Prince Zongolo ect...
Ngoma Africa band wich have been named is "The Golden Voice Of Africa" it band for sure fit in any festivals you may listen them at www.ngoma-africa.com or www.facebook.com/ngomaafrica
The Ngoma Africa Band based in Germany after releasing a CD named "Anti-Corruption squard" the song "Rushwa Ni Adui wa Haki" is dominating International airwaves home and abroad
