Monday, June 27, 2011

TAMU,CHACHU NA CHUNGU YA DAR ES SLAAM


Wakazi wa Dar es salaam wanasema ''mjini shule, shamba kilimo, dar inawatu wakila sampuli , kwa ujumla watu wake ni wakarimu sana na wanapenda kusaidia wenzao. Lakini chunga sana kuna vibaka. Avumaye baharini ni papa lakini kuna wengine nao wamo.....vibaka hawa walio wengi ni wanaume lakini wapo pia wanawake waliokubuhu kwa kamchezo haka usidanganyike hii ndio bongo dar es salaam

2 comments:

  1. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  2. mmmm!!lord herry unamambo kweli

    ReplyDelete