Saturday, July 30, 2011

KWELI NCHI IMEUZWA?



Ni kweli nchi imeuzwa au ni macho yangu na mawazo yangu tu ki ukweli ni miaka 50 sasa tumetimiza na tarehe 9 december mwaka huu ni kilele cha miaka 50 tangu uhuru wa nchii tangu tukabidhiwe uhuru kutoka kwa uingereza...Siku zote imani mbaya ya wanachi kwa serikali yao inaonyeshwa katika mazingira mabovu ya uchumi,mazingira pamoja na miundombinu mibovu lakini bado fikra zangu zinanishawishikusema kweli nchii hii imeuzwa kama kiwanja cha mpira wa kikapu anapewa muwekezaji ili aweke barabara kwamkataba wa miaka 100 sasa nchi tutakuwa tunaipeleka wapi kama tunaingia mikataba ya miaka mia mia inamaanisha taifa la sasa na la baadaye tunalipereka wapi ikiwemo vizazi vyetu vinavyokuja ki ukweli kama mwenye kesi ya rada mpaka leo yupo uraiani na sasa hawa wanaoingia mikataba mibovu kama RICHMOND,DOWANS.IPTL.KIWILA.TRL na mengine mingi wapo bado uraiani sasa nchi tunaipeleka wapi?
Ikiwa serikali imeshindwa kuwekeza kabisa katika miundombinu ya umeme na barabara katika miaka yote hii 50 wanatakakutuambia wanachi kwmba hakuna hata kiongozi mmoja aliyefikilia mbele na kusema siku moja ongezeko la watu litazidi nchiii hii nakumbuka katika awamu ya pili ya rais wetu mstaafu Benjamini wiliam mkapa alikuja na sera moja ya ubinafsishaji wa mashirika ya umma na kuwapa wawekezaji katika kuyaendeleza ili kwa wanavyodai masharika hayo yalikuwa yanaendeshwa kwa hasara,ki ukweli sikuwa najua uhali wa kauli ile lakini yote hayo katika ubinafsishaji kulikuwa na ungezeka la wawekezaji kutoka nchi mbalimbali duniani ambao walivutiwa na sera zetu

Tuesday, July 19, 2011

MANCHESTER UNITED MAREKANI

Man united wakiwa ziarani katika nchi ya marekani ikiwa na kikosi kamili kabisa hapo juu ni Rio ferdnand na De gea wakibadilishana mawazo

De gea akiwa mazoezini katika mji wa washington huko marekani.

Fabio akiwa anambana Anderson hapo katika mazoezi ya kwa ajiri ya kujiandaa na mechi na seattlr sounders ya marekani pembeni ni Michael owen na Macheda

Michael Carrick akiwa amepozi katika ndege






Viraka vipya vya man united hao ni Jonas na young wakiwa mzoezini


Wednesday, July 6, 2011

KOMPUTER




Ki ukweli watanzania tunapenda sana teknolojia ya computer ingawa uwekezaji wake katika sekta hii ya dunia ya sasa na ya baadaye umekuwa mdogo sana leo hii ukiangalia kila kitu tunachofanya katika dunia hii lazima uhusishe computer,
Sekta hii ambayo imekuwa mchango mkubwa katika nchi nyingi zilizoendelea na zinazoendelea.Leo hii nchi kwetu mtu anamaliza chuo lakini matumizi ya kifaa hiki muhumu hajui kukitumia si tu yule ambaye hajawahi hata kusoma bali hata yule ambaye alisoma theory ya kifaa hiki ambapo mtahara wake ni ule wazamani kabisa hata wenzetu wameshauwacha kuutumia...kifaa hichi ambacho kiliazishwa katika miaka ya 1940's na kikawa kinaboreshwa katika miaka tofauti..mitahara tunayotumia ni yazamani sana kiukweli nalia na uwekezaji mbovu wa serikali katika sekta hii muhimu sana kama tukianziachini basi nasi tutakuwa na bill gate wetu na kama sio bill gate hata mark zuckerberg wetu...

Sunday, July 3, 2011

Nasri: ´I want to win something´



Arsenal midfielder Samir Nasri has given his strongest hint yet that he will leave the Emirates by saying silverware trumps all, including money.

Arsenal midfielder Samir Nasri has given his strongest hint yet that he will leave the Emirates by saying silverware trumps all, including money.

Nasri is holding out on signing a new deal at the Gunners, who may be forced to sell the France international in the off-season transfer window or risk losing him for nothing in 12 months.

His refusal to enter contract talks was seen by some as a cynical move to force a bigger payday from Arsenal, and reported big-money offers from Manchester United and Manchester City have done little to contradict that observation.

But Nasri is adamant he does not care about money, saying he would much rather finish his career with winners' medals than a fat bank account.

"Money has never been my motivation. I have always taken decisions from a football point of view," he told the News of the World newspaper.

"I don't want to sign for a club where I wouldn't be playing the football that I like, where I wouldn't feel happy, just for the sake of money."

"We already earn huge wages. The priority is to make a big career and to win titles. This is more important than everything else. I know the value and the meaning of money."

"You have to be able to evolve with a new way of living, keeping respect to my values. Family, friends, a good agent, it all helps you not to get carried away.

"With no titles under your belt, you can't be in the list for the Ballon D'Or. I came to England to get trophies because I haven't won anything in my career, apart from an Under-17 European Championship in 2004."

"I am hungry for titles. I play football because I love this sport and want to feel the emotion of winning. Lifting a trophy all together, this is the beauty and sense of team sports."

Nasri has spent three barren seasons with Arsenal, who have not won a trophy since their 2005 FA Cup triumph.

He is one of several players reportedly readying their transfer requests at the Emirates, along with Cesc Fabregas, Gael Clichy, Andrey Arshavin and Robin van Persie.

Saturday, July 2, 2011

MIM,TANZANIA NA UMEME



Tanzania ni nchi ambayo inaasilimali nyingi sana na nchi yenye kuvutia kwa kila mgeni anayetua hapa ila serikali yetu ya sasa na zilizopita walishindwa kujua nini umuhimu katika kuwekeza katika sekta nzima ya umeme au hata kubolesha ile miundombinu ya umeme iliyokuwepo tangu enzi za mkoloni.Nalia na swala zima la umeme linalotukumba nchi hii yenye utajiri mkubwa dhahabu,almasi,tanzanite,makaa ya mawe ulleniam pamoja na vivutio vizuri kama mbuga za wanyama,misitu ya asili pamoja na mlima kilimanjaro .
Najiuliza sana ni miaka 50 leo tangu tupate uhuru kutoka kwa uingereza hila katika miaka hiyo 50 tumeshindwa kabisa kusoma alama za nyakati katika swala la kuwekeza katika sekta hii nyeti kabisa katika maendeleo ya taifa letu hili...sipendi kuchukua nafasi hii kuilaumu tanesco ila naona hili ni kama janga la taifa zima na kunauwajibikaji mkubwa sana wa serikali kuliko hata tanesco yenyewe kama leo hii mgao unakuwa wa nchi nzima kwa masaa 10 na zaidi unawaweka wapi wale walioviwandani wakitegemea sana malipo ya siku(per day payment)wakiwa kama vibarua ni familia ngapi zitakuwa zimelala na njaa kwa tatizo la umeme ambao hauna muda maalum kukatwa wala kurudishwa,imekuwa kama desturi sasa umeme ukikatika hakuna anayeshangaa ila ukirudi ndo wanashangaa au kuwepo kwa umeme kuna kuwa kama ngushiro porini.najuuliza mimi,tanzania na umeme kuna nini kimejifisha najaribu kumtafuta mchawi ni nani yule aliyeingia mikataba mibovu ya umeme au Uzembe ya wale wachache ambao wameshika msumeno wa nchi hii.