Tuesday, July 19, 2011

MANCHESTER UNITED MAREKANI

Man united wakiwa ziarani katika nchi ya marekani ikiwa na kikosi kamili kabisa hapo juu ni Rio ferdnand na De gea wakibadilishana mawazo

De gea akiwa mazoezini katika mji wa washington huko marekani.

Fabio akiwa anambana Anderson hapo katika mazoezi ya kwa ajiri ya kujiandaa na mechi na seattlr sounders ya marekani pembeni ni Michael owen na Macheda

Michael Carrick akiwa amepozi katika ndege






Viraka vipya vya man united hao ni Jonas na young wakiwa mzoezini


No comments:

Post a Comment